Psalms 50:9-11


9 aSina haja ya fahali wa banda lako,
au mbuzi wa zizi lako.

10 bKwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,
na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.

11 cNinamjua kila ndege mlimani,
nao viumbe wa kondeni ni wangu.
Copyright information for SwhKC